![]() |
Jerome Volcke-Katibu mkuu FIFA |
Uamuzi rasmi kuhusu kipindi cha kufanyika kwa mashindano hayo unatarajiwa baadae mwaka huu hasa baada ya mashindano ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil. Changamoto inayokumba mashindano hayo kutofanyika muda wake wa kawaida ni hali ya joto iliyokithiri nchini Quatar katika kipindi cha miezi ya June-July.
Quatar inajiandaa kuwa mwenyeji wa michuano hiyo ambapo hoteli na viwanja vipya vinajengwa kwa kasi. Baadhi ya viwanja vya kuvutia vinavyotarajiwa kumalizika kabla ya mwaka 2022 kwa ajili ya mashindano hayo