

Hii inakuwa ni mara ya tatu mfululizo kwa Brazil kucheza fainali ya Mabara na safari hii inasubiri mshindi kati ya Italia na Hispania ili kujua itacheza na timu gani fainali. . Uruguay haijawahi kuishinda Brazil kwa takriban miaka 20 sasa na ushindi wa jana umeongezea ubabe walionao Brazil dhidi ya timu hiyo.