


Mchezaji wa brazil Neymar amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa michuano nyuma yake kukiwa na Andres Iniesta na Paulinho. Tuzo ya mfungaji bora imeenda kwa Fernando Torres, kipa bora Julio Cesar na fair play imechukuliwa na Hispania.
Home Unlabelled BRAZIL MABINGWA MABARA
By burudanibuzz At June 30, 2013 0