Thank you everyone for your kind words and overwhelming support, i suppose its kind of good news that i will be out around 8 weeks
— Samir Nasri Official (@SamNasri19) January 13, 2014
Home Unlabelled NASRI NJE WIKI NANE
NASRI NJE WIKI NANE
By burudanibuzz At January 13, 2014 0
Kiungo mfaransa anayekipiga Manchester City, Samir Nasri atakuwa nje kwa wiki nane kufuatia majeraha ya misuli ya goti aliyopata katika mechi dhidi ya Newcastle. Mapou-Yanga Mbiwa alicheza rafu iliyosababisha kuumia kwa Nasri ambayo ilihofiwa kumweka nje kwa kipindi kirefu zaidi. Samir kupitia ukurasa wake wa aliwashukuru mashabiki kwa sapoti.