Home Unlabelled ENGLAND YAFUZU WORLD CUP 2014
ENGLAND YAFUZU WORLD CUP 2014
By burudanibuzz At October 16, 2013 0
Timu ya taifa ya England maarufu kama Three Lions ilikata tiketi ya kushiriki fainali za kombe la dunia zitakazofanyika mwaka ujao kule nchini Brazil baada ya kuifunga Poland 2-0. Ushindi huo uliipa England nafasi ya kuwaacha wapinzani wao wakuu kwenye kundi lao Ukraine waliopata ushindi wa 8-0 mbele ya San Marino. Wayne Rooney na Steven Gerrard ndio walikuwa mashujaa wa three lions.
Timu zilizofuzu ni pamoja na:-
•Brazil (hosts)
•Japan
•Australia
•Iran
•South Korea
•Italy
•Holland
•Argentina
•Costa Rica
•USA
•Colombia
•Belgium
•Switzerland
•Germany
•Russia
•Bosnia-Herzegovina
•England
•Spain