Home Unlabelled BE READY FOR LIL WEEZY
BE READY FOR LIL WEEZY
By burudanibuzz At October 18, 2013 0
Rapa anayewakilisha kundi la Young Money Cash Money (YMCB)Dwayne Carter Jr a.k.a Lil Wayne, Tunechi yuko mbioni kutoa ngoma yake mpya kuitambulisha albamu ambayo anadai huenda ikawa ya mwisho yeye kufanya. Lil Wayne moja kati ya wanaHip Hop wenye majina makubwa na mafanikio makubwa alitangaza kuwa kwenye maandalizi ya albamu yake itakayoitwa The Carter V. Albamu ya Wayne kabla ya hii iliyoko jikoni The Carter IV iliuza zaidi ya nakala laki 9 kwenye wiki yake ya kwanza. Tarehe ya kutoka kwa albamu haijatangazwa.