Baada ya kunusurika hapo jana kurudi Home, mwakilishi wa Tanzania Feza Kessy amejikuta katika danger zone tena baada ya kupata kura nyingi za kutakiwa kuondoka mjengoni. Feza amepigiwa kura nne huku Bimp na Cleo wakiwa na kura 3 kila mmoja. Huenda muda wa Feza kuungana na mpenzi wake Oneal aliyetolewa jana umefika . Jumapili ijayo itafahamika akina nani watarudi majumbani mwao. Kura zinapigwa kupitia mtandao wa big brother http://bigbrotherafrica.dstv.com au kwa kutuma jina la mshiriki kwenda 15456 kwa mitandao yote.Feza led the pack with four Nominations. Catch up on today's Nominations here: http://t.co/z9HBwYkDYt #BBATheChase pic.twitter.com/qwnNiWHOo8
— Big Brother Africa (@BigBroAfrica) August 5, 2013
Home Unlabelled FEZA KIKAANGONI TENA
FEZA KIKAANGONI TENA
By burudanibuzz At August 05, 2013 0