Chelsea ilijitutumua na kupata ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya West Bromwich na kuwapa matumaini ya kuendelea kuwemo top four. Hata hivyo Chelsea wanaiombea mabaya Tottenham ifungwe na Arsenal hii leo ili waendelee kubaki katika nafasi ya tatu kwani ushindi wa Tottenham utawashusha hadi nafasi ya nne karibu na Arsenal ambayo ikishindwa mechi ya leo itaendelea kubaki nafasi ya tano.
Home Unlabelled KAGAWA, SUAREZ WAPIGA HAT TRICK
KAGAWA, SUAREZ WAPIGA HAT TRICK
By burudanibuzz At March 02, 2013 0