#WarReady 5pm @rickyrozay x @YoungJeezy #MikeWiLLMadeIt #Eardruma
— Mike WiLL Made It (@MikeWiLLMadeIt) February 7, 2014
Home Unlabelled T.I AMALIZA BIFU LA RICK ROSS, YOUNG JEEZY.
T.I AMALIZA BIFU LA RICK ROSS, YOUNG JEEZY.
By burudanibuzz At February 08, 2014 0
Mwanahip hop Clifford Harris(T.I) amefanikiwa kumaliza hali ya kutokuelewana kati ya Rick Ross na msanii mwenzake wa Hi Hop, Young Jeezy. Wasanii hao wawili wamekuwepo kweny bifu la muada mrefu ambapo kwa sasa inaonekana wameamua kuweka tofauti zao pembeni huku vyanzo mbalimbali vikidai T.I kuhusika kwa kiasi kikubwa kufanya jamaa waelewane. Young Jeezy atakuwepo kwenye albamu mpya ya Rozay aliyoipa jina Mastermind inayotarajiwa kudondoka kitaa tarehe 4 mwezi ujao.Ngoma ambayo Young Jeezy ameshirikishwa inaitwa War ready na imetengenezwa na prodyuza anayekuja kwa kasi Mike WillMadeIt.
Kupitia akaunti yake ya twitter, prodyuza Mike WillMadeIt ametweet