CHRIS & KARRUECHE NO MORE

Ile Couple ya mwanamitindo wa Ki-Vietnam Karrueche Tran na R n B super star Chris Brown imekufa kifo cah mende chanzo kikidaiwa matukio ya hiv karibuni yaliyojiri baina ya Chris na X flame wake Rihanna.




Ukiacha confession ya Rihanna kukiri kumpenda Chris some weeks zilizopita suala la Chris kumbusu Rihanna ilifanya RED LIGHT kuwaka kichwani mwa Karrueche na kuzua gumzo na mwisho ndo umefika na penzi hilo kuhitimishwa. Labda Chris MOYO WAKE ULIISHI KWA RIHANNA KWA KARRUECHE (UGENINI) MWILI PEKEE NDO ULKUEPO.


LOVE GONE BAD 



Designed by OddThemes | Distributed by Gooyaabi Templates